Ikiwa
leo ni siku ya UKIMWI, Duniani ambapo Tanzania Kitaifa siku hiyo
inafanyika Mkoani Njombe Juhudi za kupambana na maambukizi ya ukimwi
mkoani humo zimezidi kushika kasi kutoka katika mashirika mbalimbali na
kuanza kuungana na viongozi wa mila
Akizungumza
na mwandishi wetu katika viwanja vya Sabasaba mkoani njombe, afisa
uhusiano wa PSI kanda ya njanda za juu kusini,
↧