Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Leo ni Siku ya UKIMWI Duniani...Njombe Yaongoza kwa maambukizi

$
0
0
Ikiwa leo ni siku ya UKIMWI, Duniani ambapo Tanzania Kitaifa siku hiyo inafanyika Mkoani Njombe Juhudi za kupambana na maambukizi ya ukimwi mkoani humo zimezidi kushika kasi kutoka katika mashirika mbalimbali na kuanza kuungana na viongozi wa mila Akizungumza na mwandishi wetu katika viwanja vya Sabasaba mkoani njombe, afisa uhusiano wa PSI kanda ya njanda za juu kusini,

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>