Baada
ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kumaliza mjadala
wa sakata la Escrow, maelfu ya waumini wa madhehebu mbalimbali
mkoani Arusha wamefanya ibada maalumu ya kuliombea taifa amani
na pia kuwaombea watendaji wa serikali na wananchi kwa
ujumla kumtanguliza Mungu kwa kila wanalolifanya.
Wakizungumza katika ibada hiyo
↧