Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kumalizika kwa Sakata la "Escrow", waumini waliombea Taifa

$
0
0
Baada ya Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kumaliza mjadala wa sakata la Escrow, maelfu ya waumini wa madhehebu mbalimbali mkoani Arusha wamefanya ibada maalumu ya kuliombea taifa amani na pia kuwaombea watendaji wa serikali na wananchi kwa ujumla kumtanguliza Mungu kwa kila wanalolifanya.   Wakizungumza katika ibada hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>