Katika hali isiyotegemewa askari mmoja wa jeshi la kujenga Taifa (JKT)
anayesadikika kuwa ni wa kambi ya Mafinga wilaya ya Mufindi mkoani
Iringa usiku wa jana amenusurika kuvuliwa nguo za jeshi hadharani baada
ya kukutwa amelewa chakari na kulala katika mfereji wa maji machafu eneo
la nje ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani mjini Iringa
Tukio
hilo lilitokea muda wa saa 2 usiku
↧