Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Askari wa JKT akutwa mferejini akiwa kalewa chakari .....Pombe Ilipozidi alianza kujisaidia ndani ya basi

$
0
0
Katika hali isiyotegemewa askari mmoja wa jeshi la kujenga Taifa (JKT) anayesadikika kuwa ni wa kambi ya Mafinga wilaya ya Mufindi mkoani Iringa usiku wa jana amenusurika kuvuliwa nguo za jeshi hadharani baada ya kukutwa amelewa chakari na kulala katika mfereji wa maji machafu eneo la nje ya stendi kuu ya mabasi yaendayo mikoani mjini Iringa Tukio hilo lilitokea muda wa saa 2 usiku

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>