SPIKA wa Bunge, Anne Makinda amewaambia wabunge kuwa vitendo vyao vya kukubali kurubuniwa kwa rushwa na baadhi ya wafanyabiashara, watajikuta wanakwenda ndani na Bunge halitawatetea.
Akizungumza kabla ya kuahirishwa kwa Mkutano wa 16 na 17 wa Bunge mjini Dodoma juzi, Makinda aliwataka wabunge kuachana na watu wanaofanya ushawishi kwa kutumia fedha.
Alisema vitendo hivyo,
↧