Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Diamond aonjesha picha ya video mpya na model mrembo wa kizungu!

Diamond Platnumz alipata A kwenye somo la kucheza na akili ya mashabiki wake. Siku za hivi karibuni staa huyo amekuwa akitease mashairi ya kile kinachoonekana kama wimbo wake ujao. Na sasa amewapa...

View Article


Tanzania yaingia kwenye kashfa mpya, ni mpango wa kuwahamisha wamasai 40,000...

Ikiwa bado Tanzania inakabiliwa na skendo ya pembe za ndovu zinazodaiwa kuondoka na ndege ya rais wa China alizuru nchini, kashfa nyingine kubwa imezuka! Tanzania inashutumiwa kurejesha mpango wa...

View Article


Hospitali Za Serikali Majanga Matupu.....Muhimbili Vifo Nje Nje!

Hakufai. Pengine ni neno linaloweza kuwakilisha uhalisi wa hali ilivyo katika baadhi ya hospitali kadhaa za Serikali nchini, ambako mamia ya wagonjwa wanateseka kutokana na uhaba wa dawa, vitendanishi...

View Article

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu Aongeza Askari Kiteto...

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia kuwepo kwa migogoro ya ardhi baina...

View Article

Sijatangaza Kugombea Au Kutogombea Urais- Dkt. Shein

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Ali Mohamed Shein amesema hajatangaza kugombea au kutogombea Uraisi kwa Awamu nyingine visiwani humo na wanaomtangazia kuwa hagombei tena...

View Article


Mwanamke Afanyiwa Ukatili wa Kutisha Jijini Arusha

Mwanamke mmoja mkazi wa kijiji cha Olkokola Wilayani Arumeru Mkoani Arusha amefanyiwa ukatili wa kutisha kwa kukatwakatwa na Panga kichwani na kuondolewa kiganja cha Mkono, sikio na sehemu nyingine za...

View Article

Soko la Vinyago Arusha lateketea kwa moto

Soko  la  vinyago  lililoko  karibu na  ofisi ya   CCM   wilaya   ya   Arusha  limeteketea   kwa   moto  usiku  wa  kuamkia    tarehe 18 Novemba 2014  na kusababisha  hasara  ya  mabilioni  ya  fedha....

View Article

Tarehe ya kujiandikisha kwa ajili ya chaguzi za Serikali za Mitaa

Mkurugenzi wa Serikali za Mitaa katika Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali Mitaa Bwana Kharist Michael Luanda amesema wananchi wanapaswa kujiandikisha katika daftari maalum la kupigia...

View Article


Wema Sepetu Aanika Kisa Cha Kuachana na Diamond

MISS Tanzania 2006/07 ambaye ni staa wa sinema za Kibongo, Wema Isaac Sepetu ‘Beautiful Onyinye’, amevunja ukimya kwa kuamua kuanika kisa cha yeye kummwaga aliyekuwa mwandani wake, nyota wa Bongo...

View Article


Miss Sinza 2001, Husna Maulid Akumbwa na Skendo ya Picha Za Utupu

Miss Sinza 2001 na aliyekuwa mshiriki wa Miss Tanzania 2011, Husna Maulid ameonesha kuwa ni sikio la kufa baada ya kupiga picha za utupu kwa mara nyingine. Picha hizo zilizotapakaa kwenye mitandao...

View Article

Udini vyuo vikuu : Serikali yapiga marufuku wanafunzi kufanya mitihani siku...

Serikali kupitia Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi, imezuia uongozi wa vyuo vikuu nchini kuwalazimisha wanafunzi kuingia darasani au kufanya mitihani kwa siku zao za ibada. Ingawa hazikutajwa, siku...

View Article

Polisi aliyeua mwanafunzi wa Chuo Kikuu jijini Mbeya ahukumiwa kifo

MAHAKAMA Kuu Kanda ya Mbeya imemhukumu kunyongwa hadi kufa polisi wa upelelezi, Maduhu, F 5842, aliyekuwa akikabiliwa na shitaka la mauaji ya mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Teofilo Kisanji (TEKU),...

View Article

Mfanyabiashara Afariki Dunia Akifanya Mapenzi Ndani Ya Gari Lake Huko Kagera

Polisi mkoani Kagera inachunguza kifo cha mmiliki wa ukumbi wa klabu ya usiku ya Linas Night, Leonard Mtensa (50) ambaye inadaiwa alifariki dunia wakati akifanya mapenzi kwenye gari lake. Kamanda wa...

View Article


Vijana, wanawake waongoza kwa maambukizi ya UKIMWI

Tume ya kudhibiti ukimwi nchini Tanzania TACAIDS imelitaja kundi la Wanawake na Vijana wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 25 kuwa ndio makundi makubwa yanayoongoza kwa kuwa na virusi vya ugonjwa...

View Article

Taarifa ya Haraka kwa Vyombo vya Habari Kuhusu Mpango wa Serikali Kuwahamisha...

Sisi Viongozi wa Mila, Kisiasa, Wawakilishi wa Wanawake tumesikitishwa sana na Taarifa ya uongo aliyoitoa Waziri wa Maliasili na Utalii Mhe. Lazaro Nyalandu juu ya ukweli wa Mgogoro wa Loliondo....

View Article


Rais Kikwete atolewa nyuzi.....Afya yake inaimarika na Anaendelea Vizuri

Rais Jakaya M. Kikwete akitoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland baada ya kutolewa nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wiki iliyopita. Rais Kikwete anatarajiwa...

View Article

Serikali kuja na adhabu mbadala kwa makosa madogo ili kupunguza msongamano...

Serikali ya Tanzania imesema ipo kwenye mchakato wa kuandaa adhabu mbadala kwa wahalifu wa makosa madogo madogo ili kupunguza msongamano magerezani ambao kwa sasa unapelekea hali mbaya katika Magereza...

View Article


Kaimu Rais Atimuliwa Zambia

Aliyekuwa rais wa mpito nchi ya Zambia, Guys Scott.   Chama tawala nchini Zambia (PF) kimemtimua kaimu rais wa nchi hiyo Guys Scott kutoka chamani kwa kuvunja utaratibu wa katiba.   Taarifa hii ni kwa...

View Article

Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono Alishwa SUMU

Mbunge wa Musoma Vijijini, Nimrod Mkono amelishwa sumu wakati akiwa kwenye safari ya kikazi jijini London nchini Uingereza, imeelezwa.   Kwa mujibu wa tovuti ya The Citizen, Mkono ambaye pia ni...

View Article

Sita wafariki kwa kupigwa na radi Songea

Watu Sita wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa wilayani Songea mkoani Ruvuma baada ya kupigwa na radi kufuati mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo.   Kamanda wa polisi wa mkoa wa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>