Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Hospitali Za Serikali Majanga Matupu.....Muhimbili Vifo Nje Nje!

$
0
0
Hakufai. Pengine ni neno linaloweza kuwakilisha uhalisi wa hali ilivyo katika baadhi ya hospitali kadhaa za Serikali nchini, ambako mamia ya wagonjwa wanateseka kutokana na uhaba wa dawa, vitendanishi na vifaa tiba ambao umeendelea kuzikumba.   Wengi wa wagonjwa waliohojiwa wanalalamikia kushindwa kumudu gharama za dawa ambazo wanapaswa kuzinunua kwenye maduka wakisema hali hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>