Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu Aongeza Askari Kiteto Kuimarisha Ulinzi

$
0
0
Mkuu wa Jeshi la Polisi Nchini,IGP Ernest Mangu akimsikiliza Diwani wa Kata ya Matui Wilayani Kiteto Bw.Athuman Kidawa wakati alipofanya ziara wilayani humo kufuatia kuwepo kwa migogoro ya ardhi baina ya wakulima na wafugaji iliyosababisha kutokea mapigano yaliyosababisha kutokea kwa  vifo.kushoto ni Afisa tarafa wa Matui Bw.Eliakimu Ndelekwa.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la  Polisi)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles