Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mshauri wa Rais Uhuru: Mauaji ya Kenya Yanalenga Kuzua Uhasama wa Kidini

Baadhi ya miili ya abiria waliouawa juzi na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya. Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera likiwa njiani kuelekea Nairobi. Wanajeshi wakiwa eneo la tukio. Baadhi ya...

View Article


Sakata Zima La Mtoto Aliyenusuka Kufa Baada ya Kupewa Kipigo Kizito na...

Habari kutoka Rukungiri, Uganda zinasema kuwa mtoto mdogo wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa...

View Article


Agness Masogange: Sina Mpango wa Kurudi Tanzania

Mrembo aliyejizolea umaarufu katika video mbalimbali za wasanii Bongo, Agness Gerald ‘Masogange’ amefunguka kuwa hatarajii kurejea nyumbani hivyo mashabiki wake watamsubiri sana. Akizungumza na...

View Article

Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article

Wiki ya SHIDA Bungeni: Saa za Waliobeba Mabilioni ya Pesa IPTL...

 Ni wiki ya shida. Wiki hii inatarajiwa kuwa ya vikao mfululizo na mijadala isiyokoma. Ndiyo wiki inayotarajiwa kuuweka hadharani mtikisiko wa tano katika Serikali ya Rais Jakaya Kikwete wakati ripoti...

View Article


Je, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa...

Je  una  mwili  mwembamba  na  unataka  kuongeza  na  kunenepesha  mwili  wako ? Umedhoofika  kutokana  na  maradhi  mbalimbali  na  unataka  kurejesha  afya  yako  na  mwili  wako ? Unataka...

View Article

Mdahalo wa Jaji Warioba kufanyika kesho Dar

Taasisi ya Mwalimu Nyerere (MNF), imeandaa mdahalo maalumu wa Katiba utakaofanyika kesho kwenye Ukumbi wa Mlimani City ambao mzungumzaji mkuu atakuwa Mwenyekiti wa iliyokuwa Tume ya Mabadiliko ya...

View Article

Ni mwanamke ndiye aliyelifanya kundi la Wanaume TMK kumeguka!

Kundi la Wanaume TMK aka ‘wazee wa mapanga shaaa’ lilijichukulia umaarufu mkubwa enzi likiwa na members wote waliolianzisha. Hata hivyo kundi hilo lilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili,...

View Article


Picha ya Diamond na Zari wakinyonyana ndimi yasambaa mtandaoni

Baada ya maneno kusemwa juu ya staa wa ‘Number 1’ Diamond Platnumz na binti mrembo wa Uganda, Zari ‘the boss lady’ kuwa huenda wakawa na kitu kinaendelea zaidi ya kazi, picha ya wawili hao wakila...

View Article


Jibu la Diamond la kwanini ametumia tena wazungu kwenye video mpya ‘Ntampata...

Baada ya Diamond kuachia video ya ‘Ntampata wapi’ iliyofanyika Afrika Kusini, amekutana tena na maswali aliyokutana nayo kipindi alipoachia video ya ‘Mdogo mdogo’, ya kwanini amewatumia zaidi wazungu...

View Article

Watu wenye Albinism nchini wanaogopa kujitokeza kushiriki katika chaguzi...

Shirika linalojishughulisha na watu wenye Albinism la UNDER THE SAME SUN limesema watu wenye Albinism nchini wanaogopa kujitokeza kushiriki katika chaguzi mbalimbali nchini wakihofia usalama wao, huku...

View Article

Rais Kikwete Apokea Salamu za Kheri toka kwa Rais Barack Obama wa Marekani

Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mh.Liberata Mulamula akiwasilisha kwa Rais Dkt.Jakaya M rishoKikwete salamu za kumtakia kheri na afya njema kutoka kwa Rais wa Marekani Barack Obama jijini...

View Article

Dully Sykes Atoa Ufafanuzi Kuhusu Wimbo wake uliojaa MATUSI

Siku chache baada ya wimbo wake wa Thats The Way uliojaa matusi yasiyoweza kuandikika  kuanza kusambaa kwa kasi kwenye mitandao , msanii wa kitambo wa muziki wa kizazi kipya, Abdul Sykes ‘Dully Sykes’...

View Article


Mtoto Aliyezaliwa na Miguu na Mikono Minne India na Kupewa Jina la "Mungu...

Imetokea nchini India baada ya mama mmoja kujifungua mtoto mwenye miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa na kuitwa ‘Mungu Mvulana’ ....   Mtoto huyo amepewa jina la...

View Article

Askari wa FFU Apigwa Jiwe Kwa Kombea na Kung'olewa Meno 6 na Wananchi

Kumetokea tukio la aina yake katika mgodi wa madini ya almasi wa Mwadui uliopo katika wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga  ambapo askari polisi wa kikosi cha kutuliza ghasia wa jeshi la polisi mkoa wa...

View Article


Watu 9 wafariki dunia na wengine tisa wajeruhiwa katika ajali mkoani Shinyanga.

Watu tisa wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Hiace kutoka mjini Kahama kuelekea mjini Shinyanga kupinduka katika eneo la Buhangija...

View Article

Mbunge Felix Mkosamali afikishwa mahakamani

Mbunge wa jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo mkoani Kigoma kupitia chama cha NCCR Mageuzi Felix Mkosamali amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya Kibondo akituhumiwa kumzuia  karani mwandikishaji...

View Article


Mgogoro wasababisha wanafunzi 400 kuacha masomo na 10 kupata mimba,mkoani...

Wanafunzi 387 wa vijiji vya kata ya nambisi wilayani mbulu mkoani manyara wanaosoma katika shule ya sekondari ya kata ya Murray wamelazimika kuacha masomo baada ya  kushindwa kutembea umbali mrefu wa...

View Article

Raia wa Kigeni ajeruhi sita kwa Risasi Zanzibar

Jeshi la polisi Zanzibar linawashikilia raia wawili wa kigeni baada ya kukutwa na silaha na risasi kinyume na sheria huku mmoja ya raia huyo wa ufaransa amewajeruhi watu sita kwa kuwapiga risasi...

View Article

Katiba Inayopendekezwa Haifai - Jaji Warioba

Baadhi ya wajumbe wa iliyokuwa tume ya mabadiliko ya katiba wameitaka serikali ichapishe kwa wingi na kuzisambaza kwa wananchi nakala za katiba pendekezwa, ili wananchi waisome, waitafakari na...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>