Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 9 wafariki dunia na wengine tisa wajeruhiwa katika ajali mkoani Shinyanga.

$
0
0
Watu tisa wamefariki dunia na wengine tisa kujeruhiwa vibaya baada ya gari walilokuwa wakisafiria aina ya Toyota Hiace kutoka mjini Kahama kuelekea mjini Shinyanga kupinduka katika eneo la Buhangija kona kwenye barabara kuu ya lami ya Tinde – Shinyanga.   Wakizungumza na mwandishi wetu, mashuhuda wa ajali hiyo na majeruhi wamesema imetokea muda wa saa 4.30 asubuhi wakati dereva wa gari

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>