Mbunge
wa jimbo la Muhambwe wilayani Kibondo mkoani Kigoma kupitia chama cha
NCCR Mageuzi Felix Mkosamali amefikishwa katika mahakama ya wilaya ya
Kibondo akituhumiwa kumzuia karani mwandikishaji wapiga kura kwa ajili
ya uchaguzi wa serikali za mitaa na vijiji kufanya kazi yake.
Mh.Mkosamali ambaye alilala rumande baada ya kukamatwa na polisi
Jumatatu jioni amefikishwa mbele ya
↧