Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgogoro wasababisha wanafunzi 400 kuacha masomo na 10 kupata mimba,mkoani manyara.

$
0
0
Wanafunzi 387 wa vijiji vya kata ya nambisi wilayani mbulu mkoani manyara wanaosoma katika shule ya sekondari ya kata ya Murray wamelazimika kuacha masomo baada ya  kushindwa kutembea umbali mrefu wa  zaidi ya km 30 wa kwenda na kurudi  kila siku kutokana na wanachi wa vijiji hivyo kuibua mgogoro  wa kutaka kila kijiji kujenga shule yake.   Makamu mkuu wa shule hiyo Bw.Denis Lohay

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>