Jeshi
la polisi Zanzibar linawashikilia raia wawili wa kigeni baada ya
kukutwa na silaha na risasi kinyume na sheria huku mmoja ya raia huyo wa
ufaransa amewajeruhi watu sita kwa kuwapiga risasi kutokana na mgogoro
wa umiliki wa hoteli.
Akithibitisha
kukamatwa kwa watuhumiwa hao katika matukio tofauti Naibu Mkurugenzi
wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar Kamishna Msaidizi
↧