Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Raia wa Kigeni ajeruhi sita kwa Risasi Zanzibar

$
0
0
Jeshi la polisi Zanzibar linawashikilia raia wawili wa kigeni baada ya kukutwa na silaha na risasi kinyume na sheria huku mmoja ya raia huyo wa ufaransa amewajeruhi watu sita kwa kuwapiga risasi kutokana na mgogoro wa umiliki wa hoteli.   Akithibitisha kukamatwa kwa watuhumiwa hao katika matukio tofauti Naibu Mkurugenzi wa Upelelezi na Makosa ya Jinai Zanzibar Kamishna Msaidizi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>