Shirika linalojishughulisha na watu wenye Albinism la UNDER THE SAME
SUN limesema watu wenye Albinism nchini wanaogopa kujitokeza kushiriki
katika chaguzi mbalimbali nchini wakihofia usalama wao, huku
likiwatahadharisha kuwa waangalifu kipindi hiki ambapo taifa linaingia
kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa na uchaguzi mkuu kwani matukio
mengi yamekuwa yakitokea msimu huu.
Hayo
↧