Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mahakama Kuu Yasimamisha Mjadala wa Ripoti ya Escrow Kujadiliwa Bungeni

Jopo la majaji watatu wa mahakama kuu kanda ya Dar es Salaam chini ya jaji Radhia Sheikhe limezuia mjadala wa ripoti ya mdhibiti na mkaguzi mkuu wa serikali kuhusu akaunti ya Tegeta Escrow hadi hapo...

View Article


Hakuna wa Kuzuia Escrow Isijadiliwe Bungeni - Anna Makinda

Kufuatia  Taarifa za  kujadiliwa kwa suala la  ufisadi katika akaunti ya Tegeta Escrow kupelekwa mahakamani ili lisijadiliwe na Bunge, Spika wa Bunge Bi. Anna Makinda amesema hakuna Muhimili...

View Article


Rais Kikwete Kurejea Nchini Novemba 29, 2014

Taratibu za matibabu ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete, zimekamilika jana, Jumatatu, Novemba 24, 2014.   Taratibu hizo za matibabu za Mheshimiwa Rais Kikwete...

View Article

Tweets 3 za Dk.Wilbroad Slaa kuhusiana na kashfa ya Escrow

…Tulisema hili la Escrow mapema. Akaunti nyingi zilizopokea hela zilikuwa ni mpya, nyingine hazikuwa hata na vitabu vya hundi. Hatuliachi….”    -“… Ni jambo la kusikitisha sana kuona hata benki...

View Article

Ripoti Ya Escrow.....Leo ndio Leo!!!

Ripoti itakayowasilishwa bungeni hii hapa. Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) wakiilinda ripoti hiyo usiku kucha. Wajumbe wa kamati wakiipitia ripoti hiyo kabla ya kuwasilishwa leo...

View Article


Ripoti Ya Escrow Yawasilishwa Bungeni.....Bonyeza Hapa Kuisoma Ripoti hiyo.

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali katika Bunge la Jamumuhi ya Muungano wa Tanzania, imewasilisha ripoti ya uchunguzi wa kashfa ya IPTL na kuhusisha uchotwaji wa shilingi bilioni 306 za kitanzania....

View Article

Sakata la Escrow: Kamati ya PAC Yamtaka Waziri Mkuu,Mwanasheria Mkuu, Waziri...

WAZIRI MKUU - Kamati imesema imejiridhisha pasipo mashaka kuwa, Waziri Mkuu, alikuwa ana taarifa zote kuhusiana na mchakato mzima wa kuchotwa fedha kutoka katika akaunti ya ESCROW.   -Kamati, kwa...

View Article

Maajabu: Mti Mwingine Uliokuwa Umeanguka miaka Mitano Iliyopita WAINUKA...

Lile tukio la ajabu ambalo limestaajabisha wengi la mti ambao ulikuwa umeanguka kwa zaidi ya miaka mitatu kuinuka,  limekaa kwenye headline tena ambapo viongozi wa Serikali wamezungumzia hilo huku...

View Article


Bunge laelezwa MAGUNIA yalivyobeba fedha IPTL

WATU mbalimbali na viongozi wa umma waliofaidika na fedha za akaunti ya Tegeta Escrow ya Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, wametakiwa kurejesha fedha hizo, kufilisiwa mali zao na kushitakiwa mahakamani....

View Article


Watendaji 17 Waswekwa Rumande kwa Kushindwa Kusimamia Agizo la Rais Kikwete...

MKUU wa Wilaya ya Nanyumbu mkoani Mtwara, Festo Kiswaga amewasweka rumande watendaji 17 wa vijiji na kupewa barua za onyo kali, huku mmoja akifukuzwa kazi kwa uzembe wa kutosimamia ipasavyo ujenzi wa...

View Article

Kondomu Feki Zateketezwa

Shirika la Viwango Tanzania (TBS) jana liliteketeza kondomu feki aina ya Mood vipande 601,100 vyenye thamani ya Sh. milioni 29.7 ambazo zimebainika kutengenezwa India. Akizungumza jijini Dar es Salaam...

View Article

Baada ya Ishu ya Escrow, haya ni Majibu Mawili ya Waziri Mkuu Pinda ikiwemo...

Kikao cha Bunge leo Novemba 27 kimeanza kwa maswali mawili kuulizwa na Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni Freeman Mbowe kwa Waziri Mkuu Mizengo Pinda.   “…Chini ya uongozi wako kama Waziri Mkuu wa...

View Article

Ajali Yaua 11 Tanga

WATU 11 wanadaiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa katika ajali mbaya eneo la Mkanyageni mkoani Tanga baada ya gari aina ya Toyota Coaster yenye namba za usajili T 410 BJD kugongana na Scania...

View Article


Sakata la Tegeta Escrow: Kikao cha Bunge Jioni Hii

MWENYEKITI ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Ilala Mhe. Mussa Azzan Zungu: Wananchi wanataka kujua ukweli, na anatoa nasaha zake ili bunge lisilete fujo   Tundu Lissu: Anaomba radhi ya kauli ya jana kuhusu...

View Article

Mahakama Kuu Yamuachia Huru Sheikh Ponda Leo

Mahakama Kuu ya Tanzania imemuachia huru aliyekuwa Katibu wa Taasisi za Kiislam, Sheikh Ponda Issa Ponda baada ya kuona hana hatia dhidi ya Kesi ya madai ya Ardhi ya Agrekanza inayomilikiwa na Afidhi...

View Article


Diamond na Zari Waumbuka

Licha ya madai wanayoyatoa mastaa wawili hot kwa sasa, Nasibu Abdul ‘Diamond’ na Zarinah Hassan a.k.a Zari au The Boss Lady kuwa si wapenzi bali kuna project wanaifanya, wawili hao wameumbuka....

View Article

Waziri Muhongo Azomewa Bungeni

Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, amekumbana na wakati mgumu, ikiwa ni pamoja na kuzomewa na wabunge na kukatizwa wakati akitoa maelezo kufuatia taarifa ya Kamati ya Kudumu ya...

View Article


Askofu Kilaini na Nzigirwa wazungumzia tuhuma za Wizi wa Pesa za Escrow

Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering, James Rugemalira akisema si mara yake kwa kwanza kupokea fedha kutoka kwa...

View Article

Serikali imesema inatambua VICOBA kama mkombozi wa wanyonge nchini.

Serikali imesema kuwa VICOBA ni taasisi binafsi inayomilikiwa na wananchi wenyewe vikiwa ni miongoni mwa taasisi ndogo za kifedha ambazo ni za kibinafsi na huanzishwa, kuendeshwa na kusimamiwa ama...

View Article

Baraza la Maaskofu lazungumzia 'mgawo wa escrow' kwa Makasisi wake

Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) limezungumzia sakata la maaskofu wa kanisa hilo, Methodius Kilaini na Eusebius Nzigirwa kudaiwa kupewa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow na kusema kwa sasa...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>