Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Baraza la Maaskofu lazungumzia 'mgawo wa escrow' kwa Makasisi wake

$
0
0
Baraza la Maaskofu wa Kanisa Katoliki (TEC) limezungumzia sakata la maaskofu wa kanisa hilo, Methodius Kilaini na Eusebius Nzigirwa kudaiwa kupewa fedha za akaunti ya Tegeta Escrow na kusema kwa sasa hawawezi kuzungumzia suala hilo kutokana na kuwa linagusa watu binafsi. Limesema kuwa suala hilo halihusu baraza na inaweza kufanyiwa kazi kwa taratibu za kanisa kwa kadri uchunguzi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles