Askofu Msaidizi wa Jimbo la Bukoba, Methodius Kilaini amekiri
kupokea Sh80.5 milioni kutoka kwa Mkurugenzi wa VIP Engeering, James
Rugemalira akisema si mara yake kwa kwanza kupokea fedha kutoka kwa
mfanyabiashara huyo kwa kuwa mara nyingi huwa anachangia kwa uwazi
miradi ya jamii.
Askofu huyo alikuwa akizungumzia
Ripoti ya Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC), iliyosomwa
↧