Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ajali Yaua 11 Tanga

$
0
0
WATU 11 wanadaiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa katika ajali mbaya eneo la Mkanyageni mkoani Tanga baada ya gari aina ya Toyota Coaster yenye namba za usajili T 410 BJD kugongana na Scania namba T 605 ABJ leo asubuhi .   Katika ajali hiyo, Coaster lilikuwa likitoka mkoani Tanga kwenda Lushoto na madereva wa magari yote mawili hawajulikani walipo baada ya ajali.  

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles