WATU 11
wanadaiwa kufariki dunia huku wengine wakijeruhiwa katika ajali mbaya
eneo la Mkanyageni mkoani Tanga baada ya gari aina ya Toyota Coaster
yenye namba za usajili T 410 BJD kugongana na Scania namba T 605 ABJ
leo asubuhi .
Katika
ajali hiyo, Coaster lilikuwa likitoka mkoani Tanga kwenda Lushoto na
madereva wa magari yote mawili hawajulikani walipo baada ya ajali.
↧