WATU mbalimbali na viongozi wa umma waliofaidika na fedha za akaunti ya Tegeta Escrow ya Kampuni ya kufua umeme ya IPTL, wametakiwa kurejesha fedha hizo, kufilisiwa mali zao na kushitakiwa mahakamani.
Aidha, mmiliki wa Kampuni ya PAP, Harbinder Singh Sethi ameamriwa kukamatwa na kufikishwa mahakamani kwa makosa ya utakatishaji fedha haramu, ukwepaji wa kodi na wizi.
Pia kwa kutumia
↧