Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sakata Zima La Mtoto Aliyenusuka Kufa Baada ya Kupewa Kipigo Kizito na Hausigeli ( Dada wa Kazi)

$
0
0
Habari kutoka Rukungiri, Uganda zinasema kuwa mtoto mdogo wa miaka miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha. Jolly alimpiga mtoto huyo Jumamosi iliyopita wakati akimlisha mtoto huyo aliyekuwa mgonjwa, baada ya kushindwa kula haraka kama alivyotarajiwa na kutapika. Bila kujua kuwa nyumba hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>