Habari kutoka Rukungiri, Uganda zinasema kuwa mtoto mdogo wa miaka
miwili aliyekuwa mgonjwa, amenusurika kifo baada ya kupata kipigo kutoka
kwa dada wa kazi, Jolly Tumuhiirwe (22), aliyekuwa akimlisha.
Jolly alimpiga mtoto huyo Jumamosi iliyopita wakati akimlisha mtoto huyo
aliyekuwa mgonjwa, baada ya kushindwa kula haraka kama alivyotarajiwa
na kutapika.
Bila kujua kuwa nyumba hiyo
↧