Baadhi ya miili ya abiria waliouawa juzi na Al-Shabaab eneo la Mandera, Kenya.
Basi lililotekwa na Al-Shabaab eneo la Mandera likiwa njiani kuelekea Nairobi.
Wanajeshi wakiwa eneo la tukio.
Baadhi ya miili ya watoto ambao nao waliuawa katika shambulio hilo.
Miili ya marehemu ambao wengi walikuwa siyo waislamu.
Ndugu wa marehemu wakiwa na simanzi wakati wa kupokea miili ya
↧