Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Sita wafariki kwa kupigwa na radi Songea

$
0
0
Watu Sita wamefariki dunia na wengine wawili kujeruhiwa wilayani Songea mkoani Ruvuma baada ya kupigwa na radi kufuati mvua kubwa iliyonyesha usiku wa kuamkia leo.   Kamanda wa polisi wa mkoa wa Ruvuma ACP Mihayo Msikhela amesema kuwa maafa hayo yalitokea majira ya saa mbili usiku wakati watu hao wakila chakula cha usiku kwenye mgahawa wa chuo cha kilimo na mifugo cha Liti Madaba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles