Imetokea nchini India baada ya mama mmoja kujifungua mtoto mwenye
miguu minne na mikono minne huku akipokelewa na wenyeji kwa furaha kubwa
na kuitwa ‘Mungu Mvulana’
....
Mtoto huyo amepewa jina la ‘Mungu Mvulana‘
kwa kuwa kuzaliwa na viungo kama hivyo si jambo la kawaida na
huchukuliwa kama mfano wa Mungu kwa jamii za kihindu na watu walisafiri
kutoka kona mbalimbali za nchi hiyo
↧