Kundi la Wanaume TMK aka ‘wazee wa mapanga shaaa’ lilijichukulia umaarufu mkubwa enzi likiwa na members wote waliolianzisha.
Hata hivyo kundi hilo lilikuja kuvunjika na kuzaliwa makundi mawili,
Wanaume Halisi linaloongozwa na Juma Nature na TMK Wanaume Family ambalo
lipo chini ya Said Fela likiwa na wakali kama Chege na Mheshimiwa
Temba. Na sasa imebainika kuwa ni mwanamke ndiye
↧