Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Serikali kuja na adhabu mbadala kwa makosa madogo ili kupunguza msongamano Magerezani

$
0
0
Serikali ya Tanzania imesema ipo kwenye mchakato wa kuandaa adhabu mbadala kwa wahalifu wa makosa madogo madogo ili kupunguza msongamano magerezani ambao kwa sasa unapelekea hali mbaya katika Magereza hayo.   Akijibu swali bungeni mjini Dodoma jana kwa niaba ya Waziri wa Mambo ya Ndani ya nchi, Waziri wa Nchi ofisi ya Rais Utumishi Bi. Celina Kombani amesema hali ya msongamano kwa

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>