Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kaimu Rais Atimuliwa Zambia

$
0
0
Aliyekuwa rais wa mpito nchi ya Zambia, Guys Scott.   Chama tawala nchini Zambia (PF) kimemtimua kaimu rais wa nchi hiyo Guys Scott kutoka chamani kwa kuvunja utaratibu wa katiba.   Taarifa hii ni kwa mujibu wa msemaji wa chama hicho. ''Amekuwa akiwaajiri na kuwafuta watu kazi ovyo na pia bila ya kushauriana na kamati kuu ya chama,'' amesema Malozo Sichone.   Bwana Scott, ambaye

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>