Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Rais Kikwete atolewa nyuzi.....Afya yake inaimarika na Anaendelea Vizuri

$
0
0
Rais Jakaya M. Kikwete akitoka katika hospitali ya Johns Hopkins iliyopo Baltimore Maryland baada ya kutolewa nyuzi katika mshono baada ya kufanyiwa upasuaji wiki iliyopita. Rais Kikwete anatarajiwa kurudi tena hospitalini hapo Jumatatu kwa ukaguzi wa maendeleo ya kidonda na ushauri. Kulia kwake ni Daktari wa Rais, Profesa Mohamed Janabi Rais Kikwete akiwa amepumzika kwenye hoteli

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles