Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Vijana, wanawake waongoza kwa maambukizi ya UKIMWI

$
0
0
Tume ya kudhibiti ukimwi nchini Tanzania TACAIDS imelitaja kundi la Wanawake na Vijana wenye umri wa kuanzia miaka 15 hadi 25 kuwa ndio makundi makubwa yanayoongoza kwa kuwa na virusi vya ugonjwa hatari wa ukimwi hapa nchini.   Mwenyekiti wa TACAIDS Dkt. Fatma Mrisho amesema hayo jana jijini Dar es salaam wakati alipokuwa akizungumzia maadhimisho ya siku ya ukimwi duniani Desemba

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>