Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Aunt Lulu Akiri Wasanii Wa Kike Kujiuza Mitandaoni

Mwanadada  mwenye umbo la utata Bongo, Lulu Semagongo ‘Aunt Lulu’ ameibuka na kueleza kwamba mastaa wamegundua njia mpya ya kujiuza ambayo ni kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii.   Akiongea na Gpl,...

View Article


Flaviana Matata Avishwa Pete Ya Uchumba !

Mwanamitindo wa kimataifa anayetokea Tanzania, Flaviana Matata ambaye amekuwa akiishi Marekani, kafungua ukurasa  mpya kwenye maisha yake baada ya kuvishwa pete ya Uchumba.    Kwa furaha aliyokua...

View Article


Big Brother Africa: Idris apeta, Samantha na Mr. 265 wayaaga mashindano

Mwakilishi wa Tanzania aliyesalia kwenye shindano la Big Brother Africa, Idris Sultan ataendelea kuipeperusha bendera ya Tanzania baada ya Jumapili hii kuokolewa na kura za mashabiki barani kote. Hata...

View Article

Prof Maghembe asema urais si mashindano ya urembo

Waziri wa Maji, Profesa Jumanne Maghembe ameshangazwa na utitiri wa watu wanaotaka kugombea urais kwenye Uchaguzi Mkuu 2015, akisema nafasi hiyo ya juu nchini haifanani na mashindano ya urembo ambayo...

View Article

Kimenuka: Ripoti ya CAG yabaini fedha zote akaunti ya Escrow IPTL ni za umma...

Matokeo  ya ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusiana na kuchotwa kwa Sh. bilioni 306 kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania...

View Article


Membe akerwa na ripoti ya mbio za urais 2015.....Ni ya Twaweza aliyoshika...

Twaweza Jumatano iliyopita ilitoa ripoti ya utafiti, pamoja na mambo mengine ikionyesha baadhi ya majina ya wagombea urais wanavyokubalika kwa wananchi ikiwa uchaguzi wa rais ungefanyika Septemba...

View Article

Lady Jaydee: Mimi Siyo Yesu Wala Bikra Maria

Wakati kukiwa na maneno mengi juu ya madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na mtangazaji  maarufu Bongo wa Redio E-FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’, supastaa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo a.k.a Jide...

View Article

Rais Kikwete akutana na Jaji Mkuu wa Tanzania na ujumbe wake waliomtembelea...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Jaji Mkuu waTanzania Mhe Mohamed Chande Othman pamoja na ujumbe wake walipomtembelea na kumjulia hali Jumapili Novemba 16, 2014 katika hoteli maalumu jirani na...

View Article


Maendeleo ya Nchi hii Yataletwa na CCM - Nape

Katibu wa Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Nape Nnauye (pichani), amesema maendeleo kamwe hayawezi kupatikana kwa njia ya matusi na kufarakanisha wananchi kama wanavyofanya viongozi wa...

View Article


Je, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...

Neema  Herbalist  & Nutritional  Foods  Clinic  ni  wauzaji wa dawa  mbalimbali  za  asili. Tunapenda  kuwatangazia  wateja  wetu  kuwa  tunayo  dawa nzuri  ya  asili  inatibu na  kuponyesha...

View Article

Watu 13 mbaroni kwa mauaji ya Kiteto

Polisi mkoani Manyara wanawashikilia zaidi ya watu 13 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita katika Kata za Matui na Kiperesa wilayani hapa.   Kamanda wa...

View Article

Je, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa...

Je  una  mwili  mwembamba  na  unataka  kuongeza  na  kunenepesha  mwili  wako ? Umedhoofika  kutokana  na  maradhi  mbalimbali  na  unataka  kurejesha  afya  yako  na  mwili  wako ? Unataka...

View Article

Ripoti Maalumu ya CAG Kuhusu Akaunti ya Escrow Yakabidhiwa Kwa Mwenyekiti wa...

Naibu Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akikabidhi Ripoti maalumu ya  CAG Kuhusu akaunti ya ESCROW kwa Mwenyekiti wa PAC Mhe. Zitto Kabwe na Kaimu wake Mh. Deo...

View Article


Mtoto Mwingine Atekwa, Akatwa Nyeti na Kuuawa

Wimbi  la utekaji na mauaji ya watoto katika Jiji la Dar bado ni tishio kufuatia wiki iliyopita, maiti ya mtoto Nuru Mohamed (7) mkazi wa Majohe Kichangani Wilaya ya Ilala, kuokotwa ikiwa imeharibika...

View Article

Viongozi Manyara, Kiteto Wakalia Kuti Kavu

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda amesema Serikali itafanya mabadiliko ya kiutawala katika ngazi mbalimbali Wilaya ya Kiteto na Mkoa wa Manyara wiki hii ili kuimarisha uongozi kukabiliana na mauaji ya...

View Article


Werema,Maswi,Mboma Wapumulia Mashine.....Ni Kuhusiana na Kashfa akaunti ya...

Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inatarajia kuwahoji Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick Werema, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi,  Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la...

View Article

Laveda Azungumza na Global Tv Online......Akanusha Kujichua ( Kupiga Puli)...

Aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania katika Big Brother Africa Hotshots, Irene Laveda wiki  amezungumza na  Global tv online  kuhusiana  na  maisha  yake  ndani  ya  jumba  la  Big Brother. Ifuatayo ni...

View Article


Huddah Monroe aiunga mkono kampeni ya ‘‎MydressMychoice‬’

Staa wa Kenya, Huddah Monroe amewaunga mkono wanawake nchini Kenya waliondamana kudai haki ya kuvaa nguo wanazopenda ‘‎MydressMychoice‬’. Akizungumza na BBC mmoja ya wanawake hao, alisema ameamua...

View Article

Dully Sykes na Maunda Zorro Waachia Wimbo wa Matusi (18+)

Dully Sykes na Maunda Zorro wameungana kufanya wimbo wa matusi... Ngoma hiyo inaitwa That’s the Way ambapo Dully mwanzo mwisho anarap kuhusu KUS3X.. na huku Maunda akisikika akilia milio ya uliwaji.....

View Article

Desire Luzinda: Picha ya UCHI imenipa umaarufu ambao sikuwahi kuupata kupitia...

Licha ya kuwa tukio la kuvuja kwa picha za utupu limempa picha mbaya kwa jamii muimbaji wa Uganda Desire Luzinda, lakini upande mwingine limemuongezea umaarufu mkubwa kwa muda mfupi ambao hakuwahi...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>