Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Kimenuka: Ripoti ya CAG yabaini fedha zote akaunti ya Escrow IPTL ni za umma ..... Ofisi ya AG, Wizara ya Nishati na Madini, Bodi Tanesco, BoT zaguswa

$
0
0
Matokeo  ya ukaguzi uliofanywa na Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) kuhusiana na kuchotwa kwa Sh. bilioni 306 kifisadi kwenye akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) umeiweka matatani Ofisi ya Mwanasheria Mkuu wa Serikali (AG), huku yakizitambua fedha hizo kuwa ni za umma. Ofisi ya AG inadaiwa kuingia matatani, baada ya ripoti ya ukaguzi huo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>