Aliyekuwa mwakilishi wa Tanzania katika Big Brother
Africa Hotshots, Irene Laveda wiki amezungumza na Global tv online kuhusiana na maisha yake ndani ya jumba la Big Brother.
Ifuatayo ni sehemu ya mahojiano hayo
ambayo pia yanapatikana katika tovuti ya www.globaltvtz.com. ;
Mwandishi: Safari yako kuelekea Big Brother Africa ilikuwaje?
Laveda:
Nilienda kwenye usaili
↧