Staa wa Kenya, Huddah Monroe amewaunga mkono wanawake nchini Kenya
waliondamana kudai haki ya kuvaa nguo wanazopenda ‘MydressMychoice’.
Akizungumza na BBC mmoja ya wanawake hao, alisema ameamua kuandamana
ili kuitaka serikali ya nchi hiyo kuunda sheria kali ya kuwalinda
wanawake.
“Wanawake wanafaa kuacha kunyanyaswa wanapo nyanyaswa, sheria
za kuadhibu mtu yoyote ambaye
↧