Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Werema,Maswi,Mboma Wapumulia Mashine.....Ni Kuhusiana na Kashfa akaunti ya Escrow, Kamati ya Zito Kuwahoji

$
0
0
Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali (PAC) inatarajia kuwahoji Mwanasheria Mkuu (AG), Jaji Frederick Werema, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi,  Mwenyekiti wa Bodi ya Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Robert Mboma na wengine waliotajwa  katika kashfa ya kuchotwa Sh. bilioni 306 ya  akaunti ya Tegeta Escrow ndani ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT). Hatua hiyo

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>