Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Mrisho Mpoto yupo kwenye mazunguzo kufanya kolabo na Oliver Mtukudzi

Kuna uwezekano mkubwa wa kolabo kati ya Mrisho Mpoto na msanii wa Zimbabwe, Oliver Mtukudzi.   Akizungumza na mwandishi wetu, Mpoto amesema mazungumzo yao yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa hali iliyompa...

View Article


Diamond amtaja msanii wa Marekani ambaye ana ndoto ya kufanya naye collabo

Tumeshasikia kuwa kuna msanii wa Marekani ambaye Diamond Platnumz tayari amefanya naye collabo ingawa bado hajamuweka wazi, lakini hivi karibuni alimtaja msanii mkubwa wa Mareknai ambaye ana ndoto ya...

View Article


Moto uliozuka katika jengo la Machinga Complex jijini Dar wadhibitiwa

Moto mkubwa uliozuka leo mchana katika jengo la biashara Machinga Complex Ilala jijini Dar es salaam, umedhibitiwa baadaa ya kuteketeza mali katika baadhi ya maduka. Akizungumza na mwandishi wetu,...

View Article

Rais Kikwete atoka wodini, familia ya Nyerere yatuma salamu

Rais Jakaya Kikwete ametoka wodini katika Hospitali ya Johns Hopkins na kuhamishiwa kwenye hoteli maalumu ambako ataendelea kuwa chini ya uangalizi wa madaktari.   Rais Kikwete alifanyiwa upasuaji wa...

View Article

Mchungaji Afariki Dunia Akijaribu kutembea juu ya Maji kama Yesu

Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele akizama alipojaribu kutembea juu ya maji kama Yesu. ...Akiomba msaada kutoka kwa waumini wake bila mafanikio.   Mchungaji kutoka Nigeria, Frank Kabele (35)...

View Article


Gharama mpya za Muhimbili zasitishwa.....nI Tozo ya Kitanda na Chakula kwa...

SERIKALI imesitisha ongezeko la tozo zilizoanza kutumika hivi karibuni katika Hospitali ya Taifa ya Muhimbili (MNH), ambayo ndiyo yenye vifaa tiba na madaktari wenye uwezo mkubwa kuliko hospitali...

View Article

Serikali yataja vijiwe vyote vya wauza ‘unga’

SERIKALI imetaja vijiwe vya wauzaji wa dawa za kulevya ‘unga’ vilivyopo katika mikoa mbalimbali nchini.   Pia, imesema inafanya uchunguzi ili kubaini kama Watanzania waliokamatwa na dawa za kulevya...

View Article

Wabunge Wataka Mkurugenzi wa Jiji la Dar es Salaam Ang'olewe

Baadhi ya Wabunge wameomba mwongozo wa kutaka kuchunguzwa kwa Mkurugenzi wa jiji la Dar es salaam Bwana Willison Kabwe kutokana tuhuma za kuipatia kazi kampuni ya Tanzania Buildings Works ambayo...

View Article


Mastaa Wanaomuunga mkono Lowassa Wajipanga kumfanyia Sherehe ya kumpongeza...

Siku chache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangazwa kuwa anaongoza katika kinyang’anyiro cha urais 2015, mastaa mbalimbali wanaomuunga mkono wameandaa mkakati wa kumfanyia sherehe ya...

View Article


Kikongwe mbaroni kwa ubakaji

Polisi mkoani Klimanjaro inamshikilia mzee Mungai Molel(75) kwa tuhuma za kumbaka mtoto wa miaka 11 wa shule ya msingi Okaseni na kumjeruhi vibaya sehemu za siri.   Kamanda wa Polisi mkoani humo...

View Article

Mtoto Ajeruhiwa Vibaya Akituhumiwa Kuiba Paka

Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mengwe, Adinani Kingazi amemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Gedfrey Kimaria (35) baada ya kukutwa na hatia ya kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka sita kwa kumng’ata...

View Article

Mauaji yazidi kutikisa Kiteto....Waliopoteza UHAI Wafika 7

Mapigano baina ya wakulima na wafugaji Wilayani Kiteto mkoani Manyara, yameendelea tena, ambapo watu wengine wawili wamefariki dunia jana na kufanya idadi ya waliouawa kuwa saba.   Awali, Novemba 11,...

View Article

Urais CCM kazi pevu....Makundi Matano kuingia Tano Bora, kundi la kifo ndo...

Wakati joto la urais ndani ya CCM likiendelea kupamba moto, watu watakaoingia kundi la tano bora ambalo litapitishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), wamefahamika.   Uchambuzi uliofanywa na...

View Article


Mtoto anayedaiwa kugeuka nyoka azua kizaazaa Geita

Mtoto mchanga mwenye umri wa miezi minne amezua kizaazaa cha aina yake, baada ya kuwapo taarifa kwamba mara kadhaa umbo lake limekuwa likigeuka na kuwa nyoka na mwili wake ukiendelea kudhoofu kutokana...

View Article

Mgogoro wa Wafugaji na Mwekezaji: Magari 9 Yachomwa Moto, Nyumba 16 Zatiwa...

Mgogoro mkubwa wa kugombea malisho umeibuka katika kijiji cha Miti Mirefu, wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, baina ya jamii ya kifugaji ya Kimasai na Mwekezaji katika shamba la Ndarakwai, na...

View Article


Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake.....Aliyebakwa ni mtoto wa miaka...

Mtoto wa miaka (5) mkazi wa Kijiji cha Kabuhima Kata ya Uyovu Wilaya ya Bukombe mkoani Geita amefanyiwa ukatili wa kinyama baada ya kubakwa na jirani yao.   Mtuhumiwa anayedaiwa kufanya kitendo hicho...

View Article

Sitti Mtemvu Aiponza Miss Tanzania

Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia Baraza la Sanaa la Taifa (Basata), wanatarajia kuifanyia tathmini Kamati ya Miss Tanzania kujua mapungufu yaliyopo ili kuchukua hatua stahiki....

View Article


Watoto Wawili wa kike Wabakwa na Mwanaume Mwenye Virusi Vya...

Taarifa kutoka katika mitandao ya Nigeria imesema watoto wadogo wawili ndugu, mmoja mwenye umri wa miaka sita na mwingine miaka nane wamebakwa na mwanaume ambaye amewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi...

View Article

Risasi zatumika Kuwatawanya WEZI wa mafuta Ya Petrol Waliovamila Lori...

Ilikuwa ni hekaheka, patashika nguo kuchanika, wakati risasi na mabomu ya machozi ziliporindima kutoka kwa Jeshi la Polisi kuwatawanya wananchi waliokuwa wakichota mafuta yaliyomwagika kutoka kwenye...

View Article

Mwanamke Anyolewa Nywele kwa Kisu baada ya Kufumaniwa na Mume wa...

Mwanamke  mmoja  ambaye  ni  mke  wa  mtu  amejikuta  katika  wakati  mgumu  baada  ya  kufumaniwa  na  mume  wa  mtu  kupitia  njia  za  panya  zilizoandaliwa  na  mke  wa  mwanaume  huyo.... Baada...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>