Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mgogoro wa Wafugaji na Mwekezaji: Magari 9 Yachomwa Moto, Nyumba 16 Zatiwa Moto huko Siha-Kilimanjaro

$
0
0
Mgogoro mkubwa wa kugombea malisho umeibuka katika kijiji cha Miti Mirefu, wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro, baina ya jamii ya kifugaji ya Kimasai na Mwekezaji katika shamba la Ndarakwai, na kusababisha ugomvi hata kuzua hali ya wasiwasi katika eneo hilo ambapo magari tisa yameteketezwa kwa moto huku nyumba zaidi ya 16 zikichomwa moto. Vurugu hizo zilizuka hivi karibuni kati ya

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>