Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mbaroni kwa kumbaka mtoto wa jirani yake.....Aliyebakwa ni mtoto wa miaka Mitano, Alikutwa Akicheza Uchi mlangoni kwa Jirani yao

$
0
0
Mtoto wa miaka (5) mkazi wa Kijiji cha Kabuhima Kata ya Uyovu Wilaya ya Bukombe mkoani Geita amefanyiwa ukatili wa kinyama baada ya kubakwa na jirani yao.   Mtuhumiwa anayedaiwa kufanya kitendo hicho cha kikatili inadaiwa kuwa alimkuta mtoto huyo anacheza mlangoni kwao akiwa hajavalishwa nguo ya ndani na wazazi wake jambo lililpelekea kufanya ukatili huo.   Akizungumuza na

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>