Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mastaa Wanaomuunga mkono Lowassa Wajipanga kumfanyia Sherehe ya kumpongeza kwa Ushindi

$
0
0
Siku chache baada ya Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa kutangazwa kuwa anaongoza katika kinyang’anyiro cha urais 2015, mastaa mbalimbali wanaomuunga mkono wameandaa mkakati wa kumfanyia sherehe ya kumpongeza.   Chanzo kimoja kilichopo ndani ya kamati ya wasanii hao wa Bongo Movies  kimesema kuwa kitendo cha Taasisi ya Twaweza kutangaza kuwa Lowassa anaongoza na kuwagaragaza makada

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>