Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mtoto Ajeruhiwa Vibaya Akituhumiwa Kuiba Paka

$
0
0
Hakimu wa Mahakama ya Mwanzo ya Mengwe, Adinani Kingazi amemhukumu kifungo cha miaka mitatu jela, Gedfrey Kimaria (35) baada ya kukutwa na hatia ya kumjeruhi vibaya mtoto wa miaka sita kwa kumng’ata mgongoni kwa madai ya kuiba paka.   Kesi hiyo ilivuta hisia za watu wilayani Rombo mkoani Kilimanjaro na wananchi wilayani humu walifurika katika mahakama hiyo kusikiliza hukumu ya kesi

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>