Taarifa kutoka katika mitandao ya
Nigeria imesema watoto wadogo wawili ndugu, mmoja mwenye umri wa miaka
sita na mwingine miaka nane wamebakwa na mwanaume ambaye amewahi kuwa na
mahusiano ya kimapenzi na mama yao.
Mtu huyo, Terkula Iorpuur
mwenye miaka 32 aliyekuwa akijishughulisha na kazi za ujenzi,
aliripotiwa kituo cha Polisi cha ‘B’ Division Police Station na mjomba
wa watoto
↧