Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watoto Wawili wa kike Wabakwa na Mwanaume Mwenye Virusi Vya UKIMWI.......Kabla ya kuwabaka, mwanaume huyo alikuwa na mahusiano na Mama Yao

$
0
0
Taarifa kutoka katika mitandao ya Nigeria imesema watoto wadogo wawili ndugu, mmoja mwenye umri wa miaka sita na mwingine miaka nane wamebakwa na mwanaume ambaye amewahi kuwa na mahusiano ya kimapenzi na mama yao.   Mtu huyo, Terkula Iorpuur mwenye miaka 32 aliyekuwa akijishughulisha na kazi za ujenzi, aliripotiwa kituo cha Polisi cha ‘B’ Division Police Station na mjomba wa watoto

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>