Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Urais CCM kazi pevu....Makundi Matano kuingia Tano Bora, kundi la kifo ndo lenye ushindani mkubwa

$
0
0
Wakati joto la urais ndani ya CCM likiendelea kupamba moto, watu watakaoingia kundi la tano bora ambalo litapitishwa na Halmashauri Kuu ya Taifa ya CCM (NEC), wamefahamika.   Uchambuzi uliofanywa na makada mbalimbali wa chama hicho unaonyesha kuwa makundi hayo ambayo yatatoa wagombea mmoja, ni kundi la wagombea vijana, kundi la kifo, kundi la waziri mkuu aliyepo madarakani, wagombea

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles