Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Mrisho Mpoto yupo kwenye mazunguzo kufanya kolabo na Oliver Mtukudzi

$
0
0
Kuna uwezekano mkubwa wa kolabo kati ya Mrisho Mpoto na msanii wa Zimbabwe, Oliver Mtukudzi.   Akizungumza na mwandishi wetu, Mpoto amesema mazungumzo yao yamefanikiwa kwa kiasi kikubwa hali iliyompa matumaini ya kuwepo kwa kolabo hiyo. “Nimefanya mazungumzo ya kolabo na Oliver Mtukudzi wa Zimbabwe kwahiyo kuna possibility kubwa kidogo ya kufanya na Oliver Mtukudzi,” amesema Mpoto.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>