Polisi mkoani Manyara wanawashikilia zaidi ya watu 13 wanaodaiwa
kuhusika na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita
katika Kata za Matui na Kiperesa wilayani hapa.
Kamanda
wa Polisi Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki amesema bado wanaendelea
na uchunguzi kabla ya kuchukua hatua ya kuwafikisha mahakamani watu hao.
“Hatuwezi
kutaja idadi kamili wala majina yao
↧