Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Watu 13 mbaroni kwa mauaji ya Kiteto

$
0
0
Polisi mkoani Manyara wanawashikilia zaidi ya watu 13 wanaodaiwa kuhusika na mauaji ya wakulima na wafugaji yaliyotokea wiki iliyopita katika Kata za Matui na Kiperesa wilayani hapa.   Kamanda wa Polisi Mkoa wa Manyara, Deusdedit Nsimeki amesema bado wanaendelea na uchunguzi kabla ya kuchukua hatua ya kuwafikisha mahakamani watu hao.   “Hatuwezi kutaja idadi kamili wala majina yao

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>