Licha ya kuwa tukio la kuvuja kwa picha za utupu limempa picha mbaya
kwa jamii muimbaji wa Uganda Desire Luzinda, lakini upande mwingine
limemuongezea umaarufu mkubwa kwa muda mfupi ambao hakuwahi kuupata
kupitia muziki wake ambao amekuwa akiufanya miaka mingi. Sasa
amefahamika zaidi ndani na nje ya Uganda.
Kwa mujibu wa Bigeye ya Uganda, Luzinda amewaambia marafiki zake jinsi
↧