Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Lady Jaydee: Mimi Siyo Yesu Wala Bikra Maria

$
0
0
Wakati kukiwa na maneno mengi juu ya madai ya kuvunjika kwa ndoa yake na mtangazaji  maarufu Bongo wa Redio E-FM, Gardner G Habash ‘Kepteini’, supastaa wa Bongo Fleva, Judith Wambura Mbibo a.k.a Jide au Jaydee amefunguka kuwa naye si mkamilifu kwani siyo Yesu wala Bikira Maria.    Kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii, wikiendi iliyopita Jide aliamua kuvunja ukimya kufuatia maswali

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles