Quantcast
Channel: MPEKUZI
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live

Sakata la IPTL kutinga bungeni Novemba 27

Ripoti ya ufisadi katika akaunti ya Escrow itawasilishwa bungeni Novemba 27, mwaka huu na kujadiliwa baada ya Kamati ya Uongozi ya Bunge kuridhia kwamba Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) inaweza...

View Article


Mwanamke Achinjwa na Kunyofolewa sehemu zake za siri

Watu wasiofahamika wamemuua kwa kumkata mapanga na kisha kumnyofoa sehemu zake za siri mkazi wa Kijiji cha Kanegele, wilayani Mbogwe, Mkoa wa Geita, Hollo Machibula (54).   Akizungumza kijijini hapo...

View Article


Operesheni ya LAZIMA kukagua magari yaja

Jeshi la Polisi kupitia Kikosi cha Usalama Bararani, linatarajia kuanzisha operesheni ya lazima ya kukagua magari ili kukabiliana na ajali za mara kwa mara. Hayo yalisemwa na Kamanda wa Polisi Kikosi...

View Article

Rais Kikwete Awaapisha Makatibu Wakuu, Mabalozi,Wakuu wa Mikoa na Makatibu...

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Samwel William Shellukindo kuwa Balozi na Msaidi wa Rais Masuala ya Diplomasia leo Ikulu jijini Dar es salaam Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe John...

View Article

Basi Lagonga Treni Ifakara...13 Wafariki papo hapo

Watu kumi na watatu wamefariki katika ajali iliyotokea huko Kibereke, Ifakara mkoani Morogoro, kati ya basi la abiria la Al Jabir lenye namba za usajili T725 ATD lililokuwa likitoka Dar es Salaam...

View Article


Hamisa Mobeto: Sina Mpango wa Kuolewa, Bado nakula Ujana

Mrembo ambaye sasa amejiingiza kwenye filamu, Hamisa Hassan ‘Mabeto’ amesema kwa sasa hafikirii suala la kuolewa kwani bado anakula ujana. Akizungumza na mwandishi wetu, Mabeto alisema bado anajiona...

View Article

Penny Afunguka baada ya Diamond Kupigwa chini na Wema Sepetu

Mtangazaji aliyewahi kujiachia kimahaba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema mwanamuziki huyo kwa sasa alie tu kwani ameshachumbiwa na hawezi kumpata tena. Kauli ya mwanadada...

View Article

Vyama Vingine 6 vya Siasa Vyaungana Kupambana na UKAWA na CCM

Vyama vya siasa ambavyo havina uwakilishi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania vimetangaza kusimamisha mgombea mmoja katika uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwezi ujao....

View Article


Ikulu: Rais Kikwete hajazuia kampeni ya Katiba Mpya .....Sheria ndo inayozuia...

Ikulu imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete hajazuia kufanyika kwa kampeni kuhusu Kura ya Maoni isipokuwa Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo inayozuia  kufanyika kwa kampeni hizo kwa sasa.   Mkurugenzi wa...

View Article


Mwanamke Amuua Mumewe Kwa Kummwagia Maji ya Moto na Kisha Kuutupa Mwili Mtoni

Mwanamke mmoja mkazi wa Kijiji cha Mfinzi wilayani Nkasi-Sumbawanga anashikiliwa na polisi kwa tuhuma za kummwagia maji ya moto mumewe na kumsababishia kifo, kisha kuutumbukiza mwili wake mtoni....

View Article

Whatsapp yawakaba koo “Waongo”.....Kama unatumia WhatsApp, hii Taarifa...

Kuanzia sasa longo longo ya kwamba sikuupata ujumbe wako wa WhatsApp itakuwa historia, au kudai kuwa ujumbe haujafika utakuwa unaongopa mchana kweupe. 1.Huduma hiyo inapatikana kupitia Whatsapp katika...

View Article

Ziara ya Rais wa China kizaazaa Dar....Ripoti Yadai Maofisa wake Waliitumia...

Ziara ya Rais Xi Jinping wa China aliyoifanya nchini Machi mwaka jana, imezua kizaazaa na kuitia doa sifa ya Tanzania kimataifa, baada ya maofisa waliokuwa wameambatana naye kuhusishwa na biashara...

View Article

Mwanafunzi wa Darasa la tano Afariki Dunia baada ya kuchapwa Viboko Vingi na...

Mwanafunzi wa darasa la tano katika Shule ya msingi ya Kiuu Kenya amefariki dunia baada ya kupigwa na mwalimu wake kwa kufeli somo lake la Kiswahili.    Familia ya mtoto huyo Joseph Waburi mwenye umri...

View Article


BUNDI Atua ndani ya Ofisi za CHADEMA Mkoani Singida..... Viongozi waanza...

WAKATI siku zikishika kasi kuelekea uchaguzi  mkuu mwakani,’Bundi’ ametua ndani ya CHADEMA mkoa wa Singida na hali imechafuka kwa viongizi wake kuanza kuvuana uanachama na kufukuzana  uongozi. Baraza...

View Article

Anayoyafanya Jaji Warioba hata Mwalimu Nyerere Aliyafanya pia!

WAVURUMISHAO makombora dhidi ya Jaji Joseph Warioba wamekuwa wakitoa hoja kwamba mzee huyo muda wake wakuzungumzia suala la katiba mpya ulishamalizika kwa minajili kuwa Tume yake ya kukusanya maoni ya...

View Article


Waziri Chiza na Mbunge Kangi Lugola Waitana MIZIGO Bungeni

Sakata la kuitwa Waziri ‘mzigo’ kwa Waziri wa Kilimo, Chakula na Ushirika, Christopher Chiza, limechukua sura mpya baada ya waziri huyo naye kujibu mapigo kuwa hata Mbunge wa Mwibara, Kangi Lugola...

View Article

Waziri Membe Akanusha Kuhusu Ndege ya Rais Wa China Kubeba Pembe za...

Iliyopachikwa hapo chini ni nukuu ya kauli ya Waziri kuhusiana na habari iliyochapishwa na vyombo mbalimbali vya habari vya Kitaifa na Kimataifa baada ya utafiti uliofanywa na shirika moja kusema kuwa...

View Article


Picha za Uchi: Desire Luzinda Aomba Radhi

Kufuatia kusambaa kwa picha za utupu za msanii wa muziki Desire Luzinda kutoka nchini Uganda, msanii huyu amechukua hatua ya kuomba msamaha kwa tukio hili la aibu kwake.   Desire katika waraka mfupi...

View Article

Miss Tanzania 2014 , Sitti Abbas Mtemvu ajivua taji .....Lilian Kamazima...

Sitti Abas Mtemvu amelivua taji hilo baada ya kuiandikia barua Kamati ya Miss Tanzania, November 5 mwaka huu, kuhusiana na uamuzi wake huo.   Mrembo huyo alikuwa akikabiliwa na shutuma za kudanganya...

View Article

ACT-Tanzania wakana kujiunga na UKAWA

CHAMA cha Alliance for Change and Transparency (ACT-Tanzania) kimesema kinaingia katika Uchaguzi wa Serikali za Mitaa bila kuungana na chama chochote cha siasa kwa sababu wanaamini itikadi za vyama...

View Article
Browsing all 45270 articles
Browse latest View live


<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>