Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Penny Afunguka baada ya Diamond Kupigwa chini na Wema Sepetu

$
0
0
Mtangazaji aliyewahi kujiachia kimahaba na Nasibu Abdul ‘Diamond’, Penniel Mungilwa ‘Penny’ amesema mwanamuziki huyo kwa sasa alie tu kwani ameshachumbiwa na hawezi kumpata tena. Kauli ya mwanadada huyo ilikuja baada ya kuulizwa kama anaafikiana na kauli ya mama wa Wema Sepetu, Miriam Sepetu kwamba, kwa kuwa Wema kamuacha Diomond basi staa huyo wa Wimbo wa Mdogomdogo bora akampose

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles