Vyama
vya siasa ambavyo havina uwakilishi katika Bunge la Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania vimetangaza kusimamisha mgombea mmoja katika uchaguzi wa
serikali za mitaa unaotarajia kufanyika mwezi ujao.
Wakati
vyama vya upinzani vikiwa na umoja wao maarufu kama UKAWA na kutangaza
kuungana, vyama visivyokuwa na uwakilishi bungeni vimetangaza kuungana
na kuweka mgombea mmoja kwenye
↧