Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Ikulu: Rais Kikwete hajazuia kampeni ya Katiba Mpya .....Sheria ndo inayozuia kampeni hizo kwa sasa

$
0
0
Ikulu imesema kuwa Rais Jakaya Kikwete hajazuia kufanyika kwa kampeni kuhusu Kura ya Maoni isipokuwa Sheria ya Kura ya Maoni ndiyo inayozuia  kufanyika kwa kampeni hizo kwa sasa.   Mkurugenzi wa Mawasiliano, Ikulu, Salvatory Rweyemamu alisema hayo Dar es Salaam jana na kuongeza kuwa sheria hiyo inaelekeza kampeni kufanywa ndani ya siku 60 kabla ya kufanyika ya kupiga kura ya maoni.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>