Picha: Diamond na Zari the Boss Lady wafanya kweli!
Diamond Platnumz na mfanyabiashara mrembo na muimbaji wa Uganda, Zari the Boss Lady hawakuishia kusafiri tu kwenye ndege na siti moja kutoka Afrika Kusini. Ukweli ni kuwa walikuwa wamepanga kukutana....
View ArticleKATIBA PENDEKEZWA: Chadema chashtuka......Kuwasilisha malalamiko Nec uhalali...
Baada ya Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa) kudai kunasa waraka wa mkakati wa serikali wa kutumia Sh. bilioni 2.5 kuendesha propaganda kwenye vyombo vya habari ili kushawishi wananchi kupigia kura...
View ArticleBaba, mama na mtoto Wauawa Kwa Kukatwa Mapanga......Kisa urithi wa mali
Watu watatu wa familia moja wamefariki dunia baada ya kukatwa mapanga, huku mmoja wao akitenganishwa kichwa na kiwiliwili kwa madai ya ugomvi wa urithi wa mali. Kamanda wa Polisi Mkoa Kagera, Henry...
View ArticleMwalimu aliyefaulisha wanafunzi WOTE Ahamishwa
Mkuu wa Mkoa wa Pwani Mwantumu Mahiza Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Machala, Christopher Rutuku, aliyewahi kufaulisha wanafunzi wote, anadaiwa kuhamishwa shuleni hapo baada ya kutuhumiwa kuruhusu...
View ArticleWema Sepetu na Penny wamaliza tofauti zao, wakumbatiana na kupiga picha pamoja
Hatimaye mpenzi wa sasa (Wema) na mpenzi wa zamani (Penny) wa msanii wa Bongo fleva Naseeb Abdul a.k.a Diamond Platnumz wamemaliza tofauti zao zilizotokana na ‘penzi’ la hit maker huyo wa ‘Number 1’....
View ArticleMwanamke Amkata Mkono Mumewe Kisa Kikiwa ni Wivu Wa Mapenzi
Polisi mkoani Tanga inamshikilia Gladness Daniel (18) mkazi wa Kijiji cha Kwekivu kata ya Kibirashi wilayani Kilindi mkoani Tanga kwa tuhuma za kumkata mkono mume wake kwa kile kinachodaiwa kuwa ni...
View ArticleJe, unasumbuliwa na tatizo la nguvu za kiume?? Unataka kuimarisha mishipa...
Neema Herbalist & Nutritional Foods Clinic ni wauzaji wa dawa mbalimbali za asili. Tunapenda kuwatangazia wateja wetu kuwa tunayo dawa nzuri ya asili inatibu na kuponyesha...
View ArticleZitto Kabwe Ajibu Mashambulizi Dhidi Yake
Nashambuliwa, tunashambuliwa! PAC tunasema “Hatutetereki” Zikiwa zimebaki siku chache kabla ya Kamati ninayoongoza ya PAC kuwasilisha Bungeni Taarifa Maalumu kuhusu ukaguzi maalumu wa akaunti ya...
View ArticleRais Kikwete afanyiwa upasuaji wa tezi dume Marekani, hali yake inaendelea vyema
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete alfajiri ya jana, Jumamosi, Novemba 8, 2014, alifanyiwa upasuaji wa tezi dume (prostrate) katika Hospitali ya Johns Hopkins...
View ArticleNafurahishwa na viongozi wenye maamuzi - Lowassa
Waziri Mkuu wa zamani Edward Lowassa amesema anafurahishwa na watu wenye maono na wanaopenda kuchukua maamuzi kuliko wale wenye kaliba ya kutaka kuweka rekodi pekee. Mh. Lowassa amesema hayo jana...
View ArticleUtata wa uraia wa Miss Tanzania mpya, Lilian Kamazima
Baada ya taji la Miss Tanzania kuvishwa kwa mshindi wa pili, utata mwingine umeibuka baada ya mrithi huyo, Lilian Kamazima kudaiwa kuwa si raia. Jana kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii kulikuwa...
View ArticleZiara ya Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM Mh. Jerry Silaa- Malampaka
Mjumbe wa Kamati kuu ya CCM na Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa aikwahutubia wananchi wa Kata ya Malampaka wakati wa ziara yake Mkoani Simiyu jana. Wananchi wa kata ya Malampaka wakimsikiliza...
View ArticleTAMKO La Ikulu: Tumefedheheshwa Jaji Warioba kushambuliwa
Serikali inapitia upya ulinzi wa viongozi wastaafu ili kuepuka fedheha iliyotokana na vurugu alizofanyiwa Waziri Mkuu mstaafu, Jaji Joseph Warioba hivi karibuni. Mpango huo umeelezwa na Katibu Mkuu...
View ArticleJe, Una Mwili Mwembamba au Umedhoofika kutokana na Maradhi?.....Bofya hapa...
Je una mwili mwembamba na unataka kuongeza na kunenepesha mwili wako ? Umedhoofika kutokana na maradhi mbalimbali na unataka kurejesha afya yako na mwili wako ? Unataka...
View ArticleFreeman Mbowe Amkaanga Samwel Sitta jimboni kwake
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amefanya mkutano mkubwa Urambo Mashariki na kumshutumu Mbunge wa jimbo hilo, Samuel Sitta kwa kuchakachua maoni ya wananchi katika mchakato wa Katiba Mpya....
View ArticleWalimu Wawili Wakamatwa Wakituhumiwa KUVUJISHA Mtihani wa kidato cha nne
Walimu wawili wa Shule ya Sekondari ya Embarway wanashikiliwa na polisi wilayani Ngorongoro wakituhumiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne ofisini. Licha ya walimu hao kukamatwa pia waliokuwa...
View ArticleTaarifa MPYA kuhusiana na hali ya kiafya ya Rais Kikwete baada ya kufanyiwa...
HALI ya Rais Jakaya Kikwete ambaye mwishoni mwa wiki alifanyiwa operesheni ya tezi dume, inaendelea kuimarika na ameanza kufanya mazoezi ya kutembea. Kwa mujibu wa Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais,...
View ArticleKampuni ya simu yamwaga ajira 2,000......Maombi ya kazi Yanaanza kupokelewa...
KAMPUNI ya simu ya Viettel ya Vietnam inayokua kwa kasi duniani ambayo sasa inahamishia nguvu zake katika soko la Tanzania, imetangaza ajira kwa wasomi wa Tanzania zaidi ya 2,000. Viettel ambayo...
View ArticleKeissy awavuruga tena Wabunge wa Zanzibar.....Vurugu zaibuka, Naibu Spika...
Naibu Spika wa Bunge, Job Ndugai, jana alifanikiwa kudhibiti kuchafuka hali ya hewa bungeni baada ya wabunge kutoka Zanzibar kutaka kumpiga Mbunge wa Nkasi Kaskazini (CCM), Ally Keissy, (pichani)...
View ArticleWanachuo watelekezwa, wazirai kwa njaa....Mmiliki wake Atumia Jina la Sumaye...
Mkuu wa Wilaya ya Mbeya, Dk Norman Sigalla WANAFUNZI 46 wa chuo kipya cha kilimo na mifugo cha Nice Dream kilichopo Mtaa wa Mapelele, Kata ya Ilemi jijini Mbeya wamejikuta wakiwa katika wakati mgumu,...
View Article