Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Walimu Wawili Wakamatwa Wakituhumiwa KUVUJISHA Mtihani wa kidato cha nne

$
0
0
Walimu wawili wa Shule ya Sekondari ya Embarway wanashikiliwa na polisi wilayani Ngorongoro wakituhumiwa kufanya mtihani wa kidato cha nne ofisini.   Licha ya walimu hao kukamatwa pia waliokuwa wasimamizi  wa ndani wa mitihani kwenye shule hiyo, wameondolewa kutokana na uzembe.   Kaimu ofisa elimu wa Wilaya ya Ngorongoro, Chacha Megewa  alidai walimu hao, Jakob Jadie na Reginald

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>