Quantcast
Channel: MPEKUZI
Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Freeman Mbowe Amkaanga Samwel Sitta jimboni kwake

$
0
0
Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe amefanya mkutano mkubwa Urambo Mashariki na kumshutumu Mbunge wa jimbo hilo, Samuel Sitta kwa kuchakachua maoni ya wananchi katika mchakato wa Katiba Mpya.    Katika mkutano huo ulifanyika katika Uwanja wa Extended mjini Urambo takriban mita 100 kutoka nyumbani kwa Sitta aliyeongoza Bunge la Katiba, Mbowe alisema historia ya nchi hii itamhukumu

Viewing all articles
Browse latest Browse all 45270

Trending Articles



<script src="https://jsc.adskeeper.com/r/s/rssing.com.1596347.js" async> </script>